Random Posts

LUCY TOMEKA ANYAKUA TAJI LA REDDS MISS KINONDONI 2013

 Mshindi wa Redds Miss Kinondoni 2013, Lucy Tomeka akivalishwa taji lake na mrembo aliyekuwa akilishikilia taji hilo Redds Miss Tanzania 2012/2013, Bright Alfred. Lucy Tomeka aliweza kuchukua taji hilo kwa kuweza kuwagalagaza wenzake wapatao 12 katika kinyang’anyiro hicho kilifanyika jana ukumbi wa hoteli ya Golden Tulip jijini Dar.    
 Akivalishwa utambulisho wake.
 Showlove...
 Warembo waliofanikiwa kuingia katika tano bora wakifurahia kwa pamoja, katikati ni Redds Miss Kinondoni 2013 Lucy Tomeka, (shoto kwake) ni Prisca Clement, (kulia kwake) ni Phillios Lemi. Wengone ni Sarah Paul (kwanza kulia) na Linda Joseph (kwanza kushoto).
  Tatu bora ni katikati ni Redds Miss Kinondoni 2013 Lucy Tomeka, (shoto kwake) ni Prisca Clement, (kulia kwake) ni Phillios Lemi. 

Katika picha Mkutano wa muungano mawaziri mjini Dodoma

Kutoka kushoto, katibu mkuu ofisi ya makamu wa rais bwana Sazi Salula, waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais Muungano mh. Samia Suluhu Hassan, mwenyekiti wa mkutano, Mh Ali Juma shamhuna waziri wa Elimu Zanziabr, akimuwakilisha  Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa pili wa Rais zanzibar kama mwenyekiti mwenza katika kikao cha kamati ya pamoja cha Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na serikali ya mapinduzi zanzibar cha kujadili changamoto za Muungano. DSCF0665 
Baadhi ya mawaziri wa Serikali ya mapinduzi Zanzibar katika kikao cha pamoja cha kujadili changamoto za muungano mjini Dodoma Leo DSCF0666 
Pichani kushoto ni Waziri wa nchi Ofisi yamakamu wa Rais Muungano mh Samia Suluhu Hasan akiongoza kikao cha pamoja cha kujadili changamoto za muungano..mjini Dodomaleo DSCF0668 
Baadhi ya wakurugenzi kutoka Ofisi ya makamu wa rais wakifuatilia mazungumzo katika kikao cha pamoja cha kujadili changamoto za muungano kinachoendelea mjini Dodoma Picha zote na Evelyn Mkoko

Post a Comment

0 Comments