Random Posts

MFALUME MSWATI III WA SWAZILAND AZINDUA RASMI MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA LEO DSM

sb

Mfalume Mswati III wa Swaziland akitoa hotuba yake wakati wa Uzinduzi Rasmi wa Maonesho ya Biashara ya Kimataifa katika Viwanja vya Sabasaba, Jijini Dares Salaam(Kushoto kwa King Mswati III) ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Kayanza Pinda sb1 
Mfalume Mswati III wa Swaziland(katikati) akiwa amesimama na Meza Kuu wakiimba   Wimbo wa Taifa la Swaziland leo katika Uzinduzi wa Maonesho ya Biashara ya Kimataifa, Jijini Dar es Salaam(wa pili kulia)ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Kayanza Pinda(PICHA NA BERNARD JAMES WA MTAZAMO MEDIA) sb2 
Mfalume Mswati III wa Swaziland akiingia katika Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimayaifa tayari kwa Uzinduzi Rasmi akiwa ameongozana na Mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda

Post a Comment

0 Comments