Random Posts

CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TANZANIA (TAWLA) CHAFUTURU NA WATOTO YATIMA WA KITUO CHA MWANA OPHANS CENTRE NA KUKABIDHI MISAADA MBALIMBALI

SONY DSC 
Mwenyekiti wa chama cha wanasheria wanawake Tanzania TAWLA Bi. Aisha Zumo Bade (wa tatu kutoka kushoto) akiwa pamoja na Wanasheria wenzake wakiwa tayari kuwapatia futari watoto yatima wapatao 80 wanaolelewa katika Kituo cha MWANA OPHANS CENTRE ,Kilichopo vingunguti Manispaa ya Ilala jijini Dar es salaam, ambapo zoezi hilo lilienda sambamba na kukabidhi msaada wa vifaa venye thamani ya Shilingi Milion 2,600,000
SONY DSC 
Mwenyekiti wa TAWLA Aisha Zumo Bade akimpatia futari mmoja wa wafanyakazi wa TAWLA kwa ajili yakuwapatia watoto wa kituo cha MWANA OPHANS CENTRE.
SONY DSC 
Watoto wakifuturu futari ilioandaliwa na chama cha wanasheria wanawake Tanzania TAWLA.
SONY DSC  
Mwanasheria, Nasieku Kissambu akipata futari pamoja na watoto wanaolelewa na kituo hicho

SONY DSC  
Mwenyekiti wa TAWLA,  Aisha Zumo Bade akimlisha futari mmoja wa watoto wa kituo cha MWANA OPHANS CENTRE .
SONY DSC 
Wafanyakazi wa TAWLA wakishusha baadhi ya vyakula na vifaa mbalimbali kwenye kituo cha kulelea watoto yatima cha (MWANA OPHANS CENTRE). Waliosimama wa kwanza kutoka kulia ni Bi,Nasieku Kissambu na wapili kutoka kulia anayeandika ni Bi Tike Mwambipile, wote ni viongozi kutoka TAWLA
SONY DSC
Mwenyekiti wa TAWLA, Bi Aisha Zumo Bade (katikati) mjumbe wa Halmashari kuu TAWLA, Bernadetha Mkandya (wakwanza kushoto) wakimkabidhi moja ya vifaa Mlezi wa kituo cha kulelea Watoto yatima cha MWANA OPHANS CENTRE, Bi,Sada Omariy 
(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMONI WA FULLSHANGWE DAR ES SALAAM)

Post a Comment

0 Comments