Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary
Nagu akisalimiana na baadhi ya wadau wa kilimo waliohudhuria uzinduzi wa
Taasisi ya Maendeleo ya Kilimo ya Benki ya NMB mjini Dodoma. Nyuma ya
Waziri Nagu ni Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Mark Wiessing.
Mkuu
wa Shughuli za Kilimo wa Benki ya NMB, Robert Pascal akitoa maelezo juu
ya Taasisi hiyo namna itakavyofanya kazi na kua msaada mkubwa kwa
wakulima kabla ya uzinduzi uliohudhuriwa na baadhi ya wakuu wa Mikoa,
Wakuu wa Wilaya, Wakulima na wadau wa kilimo.
Baadhi
ya wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya mbalimbali mbali nchini na wadau
wa Kilimo wakifuatilia Hotuba ya Afisa Mtedaji Mkuu wa Benki ya
NMB, Mark Wiessing (kulia)
Mwenyekiti
wa Bodi ya Benki ya NMB, Prof. Joseph Semboja akitoa neno la shukrani
kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji Dk.
Mary Nagu (katikati) baada ya kuzindua taasisi ya Maendeleo ya Kilimo
ya Benki ya NMB mjini Dodoma . Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa
wa Dodoma, Dk. Rehema Nchimbi,C.E.O wa NMB, Mark Wiessing na Mkurugenzi
Mkuu wa Taasisi ya Maendeleo ya Kilimo ya Benki ya NMB, Vallerian
Fernandos
Meneja Mawasiliano wa Benki ya NMB,Josephine Kulwa akimsikiliza kwa makini Mhe. Dk. Mary Nagu kabla ya hafla ya uzinduzi kuanza kati kati ni Meneja wa NMB kanda ya Kati Ole Loibanguti
0 Comments