Waziri wa Maji Profesa.Jumanne Maghembe, akitoa taarifa kwa waandishi wa
habari katika Ofisi za Wizara ya Maji Mkoani Dodoma Machi 14, 2014 kuhusiana na
utekelezaji wa maendeleo ya miundo mbinu ya maji
nchini katika kuelekea maadhimisho ya wiki ya maji yanayotarajiwa kufanyika kitaifa katika
Uwanja wa Jamhuri Manispaa ya Dodoma kuanzia Macha 16-22, 2014 kauli mbio ya
maazimisho hayo “uhakika wa maji na nishati” katikati) Mwenyekiti Kamati ya
Maadhimisho ya Wiki ya Maji Amani Mafuru, na kulia Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano Wizara ya Maji, Nurdini Ndimbe.

Waandishi
wa habari kutoka vyombo mbalmbali wakimsikiliza Waziri wa Maji
Profesa.Jumanne Maghembe, wakati akitoa kuhusiana na maadhimisho ya wiki ya maji yanayotarajiwa kufanyika kitaifa katika
Uwanja wa Jamhuri Manispaa ya Dodoma kuanzia Macha 16-22, 2014
Msimamizi
wa Mradi wa Visima wa uchimbaji visima katika eneo la MZAKWE, Bwana METHOD
ILAMULIRA, kutoka Kampuni ya DON CONSULTANT akimuonyesha Afisa Habari wa
Mamlaka ya Maji mjini Dodoma, DUWASA, SEBASTIAN WARIOBA jinsi Uchimbaji wa Maji
unavyofanyika kupitia Visima virefu. ambavyo vinatarajiwa kuondoa tatizo la
maji katika mkoa wa Dodoma.





0 Comments