Random Posts

KAMPUNI YA STEPS SOLAR KUFUNGA UMEME WA SOLAR KIGAMBONI MANSIPAA YA TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM


Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Steps Solar Bw Moses Mwanyilu (kulia), akiongea na waandishi wa Habari katika ofisi ya Kampuni hiyo Aprili 4-2014 jijini Dar es Salaam kuhusina na ufungaji wa Taa za Sola katika Shule za Sekondari (Kidete na Kibugumo) pamoja na Zahanati, Kibugumo, Mji Mwema, Tua Ngoma, Hoboza na Vituo vya Watoto ya tima pamoja na vituo vya polisi, vyote vikiwa maeneo ya Kigamboni zoezi hilo limeanza leo Aprili 4- hadi 19-2014 (kushoto), Meneja Mipango wa Kampuni ya Steps Solar,Emma Laswai (katikati), Ofisa Mteandaji Mkuu Tanzania Renewable Energy Association (TAREA), Matthew Matimbwi.

Meneja Masoko wa Kampuni  ya Steps Solar Bw.Selles Mapunda akiwaonyesha waandishi wa Habari moja ya Sola zitakazo kwenda kufunga katika maeneo hayo.



Waandishi wa Habari pamoja na wafanyakazi wa Kampuni hiyo wakiwa kwenye mkutano huo.

PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE DAR ES SALAAM