Mkurugenzi wa
DHL katika ukanda wa nchi za Jangwa la Sahara, Charles Brewer,
akiongea na waandishi wa ofisini kwake Aprili 23,2014 jijini Dar es Salaam
kuhusiana na maandalizi ya mafunzo kwa wajasiriamali wadogo nchini ili kuweza
kuwasaidia kujifunza mbinu mbalimbali za kibiashara zitakazowawezesha kukuza
biashara zao.
PICHA NA
PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWEBLOG
+255 787
942222
Mkurugenzi mkazi wa DHL Tanzania, Ahmed Abdi,
(kulia), akifafanua kuhusiana na kampuni hiyo kuendelea kukuza uchumi wa
Tanzania kwa ujumla.
