Random Posts

MWANDISHI WA HABARI WA KIMAREKANI AMEACHIWA BAADA YA KUWA MATEKA KWA MUDA WA MIAKA2


Peter Theo Cutis mwandishi wa kima-rekani amechiwa huru na watekaji baada ya kushikiliwa kwa muda wa miaka miwili na makundi ya wapigaji nchini Siria.
Katika mkanda uliorushwa na kituo cha Al Jazeera,Curts anaoneka kusema kwamba  alihudumiwa vizuli na alipata kila kitu ,chakula kizuli,nguo,matibabu mazuli pamoja na kupata marafiki,
Kuachiwa kwake kumetokana na msuluhishi kutoka Qatar imefahamika,kuachiwa kwa Curtis ni faraja kwa Dunia hasa baada ya kushuhudia mwandishi  James Foley akichinjwa na kutenganishwa kichwa chake na mtu mmoja aliyekuwa amefunika uso wake,na kujitambulisha kwamba yeye ni mpiganaji wa kundi la Isis –Islamic State ambalo lipo katika harakati ya kuiangusha serikali ya Iraqi na kusimika utawla wa kiislam.
Alikabidhiwa kwa baraza la usalama,Curti salitekwa October 2012 katka mpaka waAntakya Uturuki akijianda kuvuka mpaka,kuingia Siria nayo  kamati ya kuwalinda na kuwakinga waandishi Duniani ,inasema  takribani waandishi 67 wameuwawa nchini Siria na wengine 20 hawajulikani walipo,Tangu vuguvugu la kutaka mabadiliko nchini Siria
CNN inaripoti kwamba Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Jhn Kery kuachiwa kwa Curts ni mapano ya kundi la Japhat al nusah na sio kundi la Isis