WASHINGTON-Jeshi la anga la
marekani limefanya shambulio zito katika ngome za kundi la Al Shabaab nakuleta
mazara makubwa kwa kundi hilo nchini Somalia
Kwa mujibu wa taarifa
zilizotolewa na msemaji wa jeshi la MarekaniAdmiral John Kirb alisema bado wanafatilia ilikujua taarifa
sahihi walizopata Al-shabaab
Al-Shabaab ni kundi
lenye mfungamano na kundi la kiaidi la al gaeda-Al shabaab nikundi la kigaidi lenye mtazamo wa siasa kari
lilianza kutawala Somalia katikati ya miaka 2006 mpaka 2011 lilipofulumushwa na
majeshi ya kulinda amani wan chi za Afrika .
Al shabaab katika
utawala wao walilazimisha wananchi kufuata sheria za ki-islaam ,Hivi karibuni
kundi hilo limekuwa linajiimalisha na kurudi katikati ya jiji la Mogadishu huku
likifanya mashambulizi ya kujitoa mhanga ,kitu kinachosababisha mji wa
Mogadishu na viunga vyake kutokuwa sehemu salama!
