Random Posts

WENGI WATEMBELEA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA NHF KATIKA MASHINDANO YA SHIMIWI-MJINI MOROGORO

 Daktari Agnes Fupi akitoa huduma ya kupima presha kwa wateja waliotembelea katika banda la Mfuko wa taifa wa Bima  ya Afya (NHIF) katika mashindano ya SHIMIWI mjini Morogoro.
 Afisa masoko na elimu kwa umma wa Mfuko wa  Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),Hawa Duguza akiwaandikisha wateja kwa ajili ya kupata huduma ya kupima afya zao katika zoaezi linaloendeshwa na mfuko huo mjini morogoro.
 Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Mfuko wa Taifa wa Bima  ya Afya (NHIF) Raphael Mwamoto akizungumza na wanahabari katika uwanja wa jamhuri mjini morogoro.
Baadhi ya washiriki katika shirikisho la michezo ya wizara,na idara za serikalli(SHIMIWI) wakisubiri kupatiwa huduma ya kupima afya zao inayoendeshwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)

Post a Comment

0 Comments