Habari na Bernard James
0652-152000
...............................
Hatimaye mahakama kuu imetoa uamuzi
wa kuiruhusu, blue pear,l kuendelea na biashara zao ,kama kawaida na
kurudishiwa vitu vyao vyote vilivyokuwa vimeshikiliwa na kampuni ya udarali ya
majembe. mala moja na makabidhiano yamefanyika jana katika hali ya
utulivu,tofauti na ilivyokuwa ,hapo awali siku kampuni ya majembe ilivyivamia
kwa nguvu,huki ikiwataka blue pearl kufungasha vilago katika majengo hayo,kitu
kilchopelekea mpangaji wake ambae ni Mr Rush Meran kukimbilia mahakamani
kutafutahaki yake ,ambayo yeye aliona hajatendewa haki ,katika zoezi zima lilivyofanywa ,ambapo alilalamika ,taratibu hazikufuatwa na ilikuwa kama vile
amevamiwa gafla ,bila kupewa taarifa,hata kupewa notese ,kama taratibu
zilivyo,huku akisisitiza yeye ndie anaye dai NSSF na UBUNGO PLAZA LTD ,pesa
nyingi shilingi milioni tatu na laki sita pesa ya kigeni ,us dola (3.6 us#us
hivyo nayeye kugoma kulipa kodi aliyotakiwa kulipa ,ilikushinikiza kwanza
alipwe pesa zake kwanza anazodai ndipo nay eye ataendelea kulipa kodi yake kama
mkataba ulivyo ainisha,kwasababu kabla ya hapo hakukuwa na tatizo lolote
,alikuwa analipa kodi bila kuchelewa,na kitendo kilichofanywa na wamiliki wa jingo
la kuitumia kampuni majembe kuja kumtoa na kumtangaza kwamba ni mdaiwa ,sugu
anayekwepa kulipa kodi ,sio cha ukweli na kimemdhalilisha katika jamii ,kwa
kuonekana yeye ni mtu anaye kwepa kulipa kodi alisema Meran kwa uchungu,huku
akitaka sheria ichukue mkondo wake ,karibia sasa ni mwezi mmoja ,tangu kutokea
mtafaruku mkubwa katika jengo la ubungo plaza ambalo mmiliki wake ni, Nssf na Ubungo plaza,Ltd.
Mtandao wa kijamii upo katika
harakati za kuwasiliana na upande wa pili Nssf na Ubungo p
Plaza Ltd ilikuweza kupata nini
wanasema, na sisi tutarusha habari hizo kwakushirikiana’ na mitandao mingine ya
kijamii kuwa habarisha wana nchi ukweli wake hasa..
Hata hivyo haijajulikana hizo shilling
milioni tatu na laki sita dola za kimarekani anazodai Mr Mran
akishinikiza alipwe na Nssf na Ubungo
plaza Ltd , ni kwa ajili ya nini.
Blue Pearl Hotel inamiaka saba .tangu
iingie mkataba wa kupanga katika jingo hilo ,linalomilikiwa na shirika la Nssf
,pamoja na kampuni ya Ubungo plaza Ltd,kumekuwa na kutokuelewana kati ya
mpangaji na mmiliki ,huku mmiliki akitaka mpangaji ambae ni blue pearl aondoke
katika jengo hilo akidaiwa kuvunja mkataba.
0 Comments