Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwenyekiti wa CCM na Mhe
Dk John Pombe Joseph Magufuli akiwa meshikana mikono na Mhe Lembeli
huku akiongozana naye , Lembeli Amesema yuko tayari kurudi CCM wakati
wowote akihitajika kurudi ili kumasidia Rais “Nilitoka CCM kwa sababu
Ruswa ilitamalaki” Lembeli amezungumza hayo mchana wa leo katika
mkutano mkubwa wa hadhara huko mjini Kahama.
Rais Dk. John Pombe Magufuli
akizungumza katika mkutano huo amemwambia Lembeli “Rudi kundini kadiri
utakavyoguswa ili tuijenge nchi kwa sababu huko uliko huwezi kujenga
nchi.