Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiongea leo na
wakazi wa Dodoma na watanzania kwa ujumla wakati wa shughuli ya maadhimisho ya
Siku ya kumbukumbu ya Mashujaa Tanzania na kuwaasa watanzania kudumisha amani ambayo
ilipatikana baada ya Mashujaa wetu kuipigania na hata kujitoa uhai wao kwa
ajili ya Taifa.
|