Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista
Mhagama akiongea na baadhi wa viongozi wa serikali waliohudhuria
tukio hilo la uwashwaji wa Mwenge na kutoa rai kwa watanzania kuwa wazalendo na
nchi yao bila kujali itikadi ya mtu kama walivyofanya wazee wetu waliopigania
uhuru wa nchi.
|