 |
| Mkuu
wa wilaya ya Muheza Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo akizungumza na
bodaboda wa wilaya hiyo ambapo alikutana nao na kuzungumza nao kwenye
uwanja wa Jitegemee wilayani humo ambapo alipiga marufuku kuendeshwa
usiku zaidi ya saa sita. |
|
|
|
|
|
|
 |
| wa
pili kutoka kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Muheza, Hajat,Mhandisi
Mwanasha Tumbo akimsikiliza kwa umakini Mkuu wa Usalama Barabarani
wilayani Muheza(DTO) Herbert Kazonde wakati wa mkutano huo na waendesha
bodaboda uliofanyika kwenye uwanja wa Jitegemee wilayani humo kulia ni
Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza. |
|
|
|
Katibu wa Chama cha Waendesha Boda
Boda wilayani Muheza,Francis Gerald akizungumza katika mkutano huo
kuhusu changamoto ambazo zinawakabil
Baadhi ya Bodaboda zikiwa
zimepaki kwenye uwanja wa Jitegemee wilayani Muheza huku madereva wakiwa
kwenye kikao chao na Mkuu wa wilaya ya Muheza Mkoani Tanga,
Mhandisi,Hajat Mwanasha Tumbo
Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha
0 Comments