Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na Wabunge, Zaibab Vullu wa Viti
Maalum (kulia) na Ali Ungando wa Kibiti baada ya kuwasili kwenye
Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kibiti akiwa katika ziara ya siku moja
wilayani humo Septemba 28, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum
Zainab Vullu baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kibiti
kwa ziara ya siku moja wilayani humo Septemba 28, 2016.


0 Comments