Random Posts

RAIS DKT SHEIN ALIPOZUNGUMZA NA WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUM ZA (SMZ)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais  Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ katika mkutano wa Mpango wa Utekelezaji  wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi  CCM  ya mwaka 2015-2020 uliofanyika katika  ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo,
[Picha na Ikulu.] 09/09/2016. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais  Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ katika mkutano wa Mpango wa Utekelezaji  wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi  CCM  ya mwaka 2015-2020 uliofanyika katika  ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja  

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisisitiza jambo wakati alipozungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais  Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ katika mkutano wa Mpango wa Utekelezaji  wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi  CCM  ya mwaka 2015-2020 uliofanyika katika  ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja.


 Baadhi ya Wakuu wa Vikosi vya SMZ wakiwa chini ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais  Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ wakiwa katika mkutano wa Mpango wa Utekelezaji  wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi  CCM  ya mwaka 2015-2020 uliofanyika katika  ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
 Baadhi ya Maafisa Tawala wa Mikoa ya Zanzibar katika  Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais  Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ wakiwa katika mkutano wa Mpango wa Utekelezaji  wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi  CCM  ya mwaka 2015-2020 uliofanyika leo katika  ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
 Baadhi ya Wakuu wa Wilaya  wakiwa katika  Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais  Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ wakiwa katika mkutano wa Mpango wa Utekelezaji  wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi  CCM  ya mwaka 2015-2020 uliofanyika leo katika  ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais  Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ  Radhiya Rashid Haroub (katikati) akisoma vifungu vya Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2015-2020 wakati mkutano wa mpango wa utekelezaji wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais  Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ,mkutano huo ulifanyika leo chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
 Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Omar Khamis Othman (kushoto) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Idrisa Kitwana katika Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais  Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, wakiwa katika mkutano wa Mpango wa Utekelezaji  wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi  CCM  ya mwaka 2015-2020 uliofanyika leo katika  ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,

[Picha na Ikulu.] 09/09/2016.