Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NIC wakichangia damu Leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).
Mmoja wa wafanyakazi wa benki ya NIC, Pratik akichangia damu kwenye hospitali hiyo leo.
Mfanyakazi mwingine akishiriki shughuli ya utoaji damu leo.
Ofisa benki hiyo Rahim Kanji akijiandikisha leo asubuhi kabla ya kuchangaia damu. Kulia ni Ofisa Ustawi wa Jamii, Titus Mhokole akimuandikisha ofisa huyo.
Wafanyakazi wa benki hiyo wakisubiri kuchangia damu leo.
Ofisa mshauri, Wema Makata akitoa ushauri kwa ofisa wa benki hiyo, Ladislaus Mazigo kabla ya kutoa damu leo.
Picha na John Stephen, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)