Meneja
Mwandamizi wa Uhusiano wa Umma wa Benki ya Posta Tanzania
(TPB), Noves Moses akizundua Jengo jipya la Choo cha Shule ya
Msingi Pande ambalo wamelijenga.
Meneja
Mwandamizi wa Uhusiano wa Umma wa Benki ya Posta Tanzania
(TPB), Noves Moses pamoja na wageni wengine wakipiga makofi mara
baada ya kulizundua jengo hilo
Meneja
Mwandamizi wa Uhusiano wa Umma wa Benki ya Posta Tanzania
(TPB), Noves Moses kulia akipongezwa na mwalimu mkuu wa shule ya
Msingi Pande,Mathias Anthony mara baada ya kuzindua Jengo la
Choo
![]() |
| Meneja Mwandamizi wa Uhusiano wa Umma wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Noves Moses katikati akielekea kuzindua Jengo hilo |
![]() |
| Afisa Elimu Msingi wilaya ya Mkinga,Zakayo Mlenduka akizungumza kwenye halfa hiyo |

Meneja
Mwandamizi wa Uhusiano wa Umma wa Benki ya Posta Tanzania
(TPB), Noves Moses wa tatu kutoka kushoto akionyeshwa choo za
zamani ambacho kilibomoka na
Afisa Kilimo na Mazingira
Jiji la Tanga,Ened Mzava wa tatu kulia wakati alipotembelea eneo
hilo
![]() |
| Choo cha zamani ambacho kilikuwa kinatumiwa na wanafunzi wa shule hiyo ambacho kilianguka |
Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha







0 Comments