Kamanda wa Usalama barabarani mkoani Pwani , Abdi Issango,akizungumza na baadhi ya madereva wa magari ya matipa ya mchanga ambao walitishia kugoma katika zoezi la kukaguliwa na wakala wa barabara (TANROADS) kutokana kujaza mchanga na kusababisha uchafuzi wa miundombinu ya barabara (picha na Mwamvua Mwinyi)


