Random Posts

MKUU WA JESHI LA ANGA LA ZIMBABWE ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JWTZ UPANGA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

jw
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange (kulia) akiwa na Mkuu wa Jeshi la Anga la Zimbabwe luteni Jenerali (Air Martial) Penance Shiri, alipotembelea Makao Makuu ya JWTZ Upanga Jijini Dar es Salaam leo tarehe 12 Octoba 2016, wakati wa ziara ya kikazi nchini.
jw2
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange (watatu kushoto), akiwa na Mkuu wa Jeshi la Anga la Zimbabwe luteni Jenerali (Air Martial) Penance Shiri (wapili kushoto), alipotembelea Makao Makuu ya JWTZ Upanga Jijini Dar es Salaam leo tarehe 12 Octoba 2016, wakati wa ziara ya