Random Posts

NYERERE DAY GEREZANI UKONGA

 Mkurugenzi wa Global Publshers akisalimia wafungwa (hawapo pichani) mara alipowasili gerezani Ukonga katika Tamasha la Kuadhimisha Siku ya Nyerere.(Nyerere Day) leo tarehe 14, 10, 2016 jijini Dar es salaam.
 Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza Dkt. Juma Malewa akitia saini kitabu kitabu cha wageni gerezani Ukonga katika Tamasha la Michezo wakati wa kuadhimisha Nyerere Day.Kutoka kulia ni Mkuu wa Gereza la Ukonga Kamishna Msaidizi wa Magereza (ACP) Stephen Mwaisabila, Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu Thom Nyanduga, Mkurugenzi wa Global Publishers Erick Shigongo na Abdalah Mrisho ambaye ni meneja wa Global Publshers.
 Baadhi ya Wafungwa walioshiriki katika mchezo wa kukimbia kwa magunia wakati wa Tamasha la Michezo katika kuadhimisha siku ya Nyerere Nchini lililofanyika gerezani Ukonga jijini Dare es salaam tarehe 14.10.2016
 Mmoja wa Wafungwa walioshiriki katika mchezo wa kukimbia na yai katika kijiti wakati wa Tamasha la Michezo katika kuadhimisha siku ya Nyerere Nchini lililofanyika gerezani Ukonga jijini Dare es salaam tarehe 14.10.2016
 Sehemu ya Wafungwa walioshiriki katika mchezo wa kukimbia mita 100 wakati wa Tamasha la Michezo la kuadhimisha Siku ya Nyerere Nchini lililofanyika gerezani Ukonga jijini Dare es salaam tarehe 14.10.2016
 Baadhi ya Wafungwa walioshiriki katika mchezo wa kuvuta kamba wakati wa Tamasha la Michezo katika kuadhimisha Siku ya Nyerere Nchini lililofanyika gerezani Ukonga jijini Dare es salaam tarehe 14.10.2016. Ushindi ulienda kwa wlio kushoto.
 Baadhi ya Wafungwa walioshiriki katika mchezo wa kushikana mieleka wakati wa Tamasha la Michezo la kuadhimisha Siku ya Nyerere Nchini lililofanyika gerezani Ukonga jijini Dare es salaam tarehe 14.10.2016.

Picha zote na Deodatus Kazinja wa Jeshi la Magereza

Post a Comment

0 Comments