Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali (Mst) Salum
Kijuu akimkabidhi Vifaa vya ujenzi Mjane Agripina Angelo mkazi wa Kitoma Mkoani
Kagera kwa Niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli
Mjane Agripina Angelo mkazi wa Kitoma Mkoani
Kagera akimuonesha Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali (Mst) Salum Kijuu
nyumba aliyoijenga baada ya nyumba yake ya awali kuharibiwa na tetemeko la
ardhi lililotokea mkoani kagera mapema mwezi September.
Nyumba
ya Mjane Mjane Agripina Angelo aliyoijenga baada ya nyumba yake ya awali
kuharibiwa na tetemeko la ardhi lililotokea mkoani kagera mapema mwezi
September.
SYLVESTER
RAPHAEL-AFISA HABARI-KAGERA



0 Comments