Waziri
wa Mambo ya ndani ya Nchi.Mh:Mwigulu Nchemba akifanya mazungumzo na
Mh:Rais wa Zanzibar kabla ya kuanza ziara ya kikazi visiwani humo
iliyolenga kukutana na vikosi vya jeshi la polisi,NIDA,Uhamiaji
Wakiagana mara baada ya Mazungumzo.
Picha/Maelezo na Festo Sanga Jr.
0 Comments