Random Posts

BREAKING NEWSSSS……. MZEE SAMWEL SITTA AFARIKI DUNIA UJERUMANI

Taarifa zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema Mwanasiasa mkongwe na nguli  aliyewahi kuwa Mbunge kwa kipindi kirefu Waziri, Spika wa Bunge la Katiba na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Samwel Sitta amefariki nchini Ujerumani alikokuwa akitibiwa taarifa hizi zimethibitiswa na mmoja wa watu wa karibu wa familia ambaye hakutaka kutaja jina lake
Taarifa zaidi zitawajia kadiri tutakavyokuwa tukizipata.

Poleni ndugu , jamaa na marafiki wote na Mungu ailaze Roho ya Marehemu mahala pema peponi.

Post a Comment

0 Comments