Kamishna Msaidizi wa Jeshi
la Zimamoto na Uokoaji Maria Kullaya (kulia) akiwa ameambatana na Mrakibu
Msaidizi Puyo Nzalayaimisi (kushoto) ambaye pia ni msemaji wa Jeshi hilo
wakiongea na mganga mkuu wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Temeke Dkt. Amani
Malima.
Maafisa na Askari (Wanawake) wa Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji wakiongozwa na Kamishna Msaidizi Maria Kullaya pamoja na afisa muuguzi
wodi ya wazazi Bi. Agnes Mwampashe wakiwa wanaelekea katika wodi waliolazwa
watoto njiti.
moja ya wazazi waliopata kujifungua watoto njiti aliyeukutani ni Bi.
Fausta Geson na wa kwanza ni Bi. Mariam Juma.
Kamishna Msaidizi wa Jeshi
la Zimamoto na Uokoaji Maria Kullaya kushoto akiwa ameambatana na Mrakibu
Msaidizi Puyo Nzalayaimisi kulia wakimkabidhi zawadi mmoja ya wazazi aliyepata
kujifungua mtoto njiti Bi. Fausta Geson.
Maafisa na Askari (Wanawake) wa Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji wakiwa katika picha ya pamoja hospitalini hapo.
(Picha zote na Godfrey Peter)
........................................................................................................
JESHI LA ZIMAMOTO NA
UOKOAJI LIMEUNDWA KWA MUJIBU WA SHERIA NA LIPO KWA
AJILI YA KUTOA HUDUMA MBALIMBALI KWA JAMII, MAJUKUMU MAKUBWA YA JESHI NI KUZIMA
MOTO NA KUOKOA MAISHA NA MALI. HIVYO BASI:-
KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA
MTOTO NJITI DUNIANI MAAFISA NA ASKARI (WANAWAKE)
WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WAMETEMBELEA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA
TEMEKE NA KUTOA ZAWADI MBALIMBALI KAULI MBIU IKIWI NI “OKOA MAISHA YA MTOTO NJITI”
KATIKA KUTAMBUA CHANGAMOTO
ZINAZOKABILI MAKUZI YA WATOTO HASA WANAOZALIWA KABLA YA WAKATI (WATOTO NJITI) MAAFISA NA ASKARI WANAWAKE
WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WAMEWAKADHI VIFAA MBALIMBALI KWA WAZAZI WALIOPATA
KUJIFUNGUA WATOTO HAO NA WAZAZI WENGINE KUTOKANA NA WATOTO HAO KUHITAJI MAKUZI
BORA NA VIFAA JOTO.







0 Comments