Brigedia Jenerali George William IngramMkuu wa Kamandi ya Jeshi la Anga Brigedia Jenerali Michael Wambura Isamuhyo ambaye ni Mkuu wa Jeshi
la Kujenga Taifa.
Brigedia Jenerali Michael Wambura Isamuhyo
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Adolf Mwamunyange kwa niaba ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu anawapongeza na kuwatakia kheri katika vyeo vyao vipya.
Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na
Uhusiano Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
S.L.P 9203, Dar es Salaam, Tanzania.
Kwa Mawasiliano zaidi: 0784-477638/0756-716085
No comments:
Post a Comment