VODACOM WASAFI FESTIVAL ILIVYOFANYIKA DEC 25 MKOANI IRINGA - MTAZAMO MEDIA

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, 26 December 2016

VODACOM WASAFI FESTIVAL ILIVYOFANYIKA DEC 25 MKOANI IRINGA

Usiku wa Dec 25, 2016  wakali wa Bongo Fleva akiwemo Diamond Platnumz, Harmonize, Rayvanny, Queen Darleen, Q Boy, Chege pamoja na msanii kutoka Nigeria Kcee wameandika historia katika mkoa wa Iringa.

Show hiyo iliyopewa jina la Vodacom Wasafi Festival imefanyika katika uwanja wa Samora Stadium, hizi ni baadhi ya picha kutoka mahali palipofanyika tamasha hilo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages