Baada ya kusomewa taarifa ya mkoa wa Ruvuma na mkuuwa mkoa huo Dokta Binilith Mahenge katika ikulu ndogo ya Songea , Waziri mkuu wa Jamhuri ya Tanzania Kassim Majaliwa akatoa maagizo matatu ambayo ambayo mkoa wa ruvuma unatakiwa kuyatekeleza. Kwa undani wa habari hii hii hapa video yake.
0 Comments