Random Posts

MAAGIZO MATATU YA WAZIRI MKUU KWA SERIKALI YA MKOA WA RUVUMA

  Baada ya kusomewa taarifa ya mkoa wa Ruvuma na mkuuwa mkoa huo Dokta Binilith Mahenge katika ikulu ndogo ya Songea , Waziri mkuu wa Jamhuri ya Tanzania Kassim Majaliwa akatoa maagizo matatu ambayo ambayo mkoa wa ruvuma unatakiwa kuyatekeleza. Kwa undani wa habari hii hii hapa video yake.

Post a Comment

0 Comments