MUONGOZO WA MATUMIZI YA MIHURI KWA WENYEVITI WA MITAA NA VIJIJI WASITISHWA. - MTAZAMO MEDIA

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, 17 January 2017

MUONGOZO WA MATUMIZI YA MIHURI KWA WENYEVITI WA MITAA NA VIJIJI WASITISHWA.

1 2
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. George Boniphace Simbachawene  akizunguimza  na wawakilishi kutoka serikali za mitaa leo jijini Dar es Salaam kuhusina kuhusu kusitishwa kwa muda kwa waraka uliotoa muungozo wa matumizi ya Mihuri kwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa na Vijiji leo jijini Dar es Salaam.
PICHA KWA HISANI YA WWW.MTAZAMOMEDIA.BLOGSPOT.COM
3
Baadhi ya wawakilishi kutoka serikali za mitaa wakimsikilizaWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. George Boniphace Simbachawene kuhusu kusitishwa kwa muda kwa waraka uliotoa muungozo wa matumizi ya Mihuri kwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa na Vijiji leo jijini Dar es Salaam.
5
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. George Boniphace Simbachawene akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kusitishwa kwa muda kwa waraka uliotoa muungozo wa matumizi ya Mihuri kwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa na Vijiji leo jijini Dar es Salaam.
6
Wawakilishi kutoka serikali za mitaa wakisikiliza jambo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. George Boniphace Simbachawene .
7
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. George Boniphace Simbachawene (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wawakilishi kutoka serikali za mitaa.
............................................................................

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages