Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akifungua
mkutano wa Watendaji Wakuu wa Wakala za Serikali leo jijini Dar es salaam.
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Laurean Ndumbaro akiongea na Watendaji
Wakuu wa Wakala za Serikali nchini, leo jijini Dar es salaam, kushoto kwake ni
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb)
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao
(eGA), Dkt. Jabiri Bakari akimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya
Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki
(Mb) (hayupo pichani) alipokuwa akifungua mkutano wa Watendaji Wakuu wa Wakala za
Serikali leo, jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania,
Dkt. Henry Mambo (kushoto) pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Uchambuzi na
Ushauri wa Kazi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Mick
Kiliba wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa
Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (hayupo pichani) alipokuwa akifungua
mkutano wa Watendaji Wakuu wa Wakala za Serikali nchini leo, jijini Dar es
salaam.
Washiriki wa mkutano wa Watendaji Wakuu wa Wakala
za Serikali nchini wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi Waziri wa Nchi, Ofisi ya
Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki
(Mb) (hayupo pichani) alipokuwa akifungua mkutano wa Watendaji Wakuu wa Wakala hizo
nchini leo, jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania,
Dkt. Henry Mambo (kushoto) pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Uchambuzi na
Ushauri wa Kazi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Mick
Kiliba wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa
Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (hayupo pichani) alipokuwa akifungua
mkutano wa Watendaji Wakuu wa Wakala za Serikali nchini leo, jijini Dar es
salaam.






0 Comments