Random Posts

WAZIRI MKUU AIPONGEZA BIMA YA AFYA JINSI INAVYO SAIDIA KUTOA HUDUMA KATIKA KITUO CHA AFYA CHA MADABA SONGEA

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimjulia hali Sophia Mgeni ambaye ametoka kujifungua mtoto wa kike Waziri mkuu alitembelea Zahanati ya Madaba iliyopo wilaya ya Songea ilikuweza kuwasikiliza wagonjwa katika zahanati hiyo Waziri mkuu yupo Mkoani Ruvuma kwa ziara ya kukagua shughuli za maendeleo  
Picha na Chrs Mfinanga
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wauguzi wa zahanati ya Madaba amewataka waendele na moyo waliokuwa nao wakuwapenda wagonjwa na kuwahudimia kwani serikali inatambua mchango wao wanaoutoa kwa taifa.
Waziri Mkuu Mkuu Kassim  Majaliwa akiwahutubia wananchi wa madaba amabao waliojitokeza  kwa wingi amabapo waziri mkuu alitumia nafasi hiyo yakuwaelezea juhudi za serikali za kuwasaidia wananchi katika sekta mbali mbali ikiwemo Huduma ya bima ya afya  Waziri mkuu yupo mkoani Ruvuma kwa ziara ya kikazi.

Post a Comment

0 Comments