Waziri
wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Moses Nnauye akiongea na wadau
katika sekta ya filamu alipokutana nao leo kujadili changamoto za sekta hiyo na
jinsi ya kupambana na maharamia wa kazi za wasanii.
Waziri
wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Moses Nnauye akimsikiliza Rais wa
Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF)
Waziri
wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Moses Nnauye akiangalia kazi haramu
za wasanii zilizokamatwa kwa wasambazaji zilizopo katika ghala la kampuni ya
madalali ya YONO iliyopo Ilala Bungoni.
Waziri
wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Moses Nnauye akiangalia mashine ya
kudurufu santuri za muziki na video wasambazaji zilizopo katika ghala la
kampuni ya madalali ya YONO iliyopo Ilala Bungoni.
Baadhi
ya Wasanii wakiangalia kazi haramu za wasanii zilizokamatwa kwa wasambazaji
zilizopo katika ghala la kampuni ya madalali ya YONO iliyopo Ilala Bungoni.






0 Comments