Random Posts

ZIARA YA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) MKOANI IRINGA.

...................................................................................................................
 Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Dkt. Medard Kalemani (aliesimama) akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) pale kamati hiyo ilipofanya ziara katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa wakati walipokuwa wakisoma taarifa za Utekelezaji Miradi ya Umeme Vijijini katika Kikao kilichofanyika leo Iringa Mjini. Kulia kwake ni Mjumbe wa Kamati hiyo Mhe.Livingstone Lusinde
 Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Mhe. Japhet Hasunge akizungumza mbele ya kamati hiyo pale kamati ilipofanya ziara katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa wakati walipokuwa wakisoma taarifa za Utekelezaji Miradi ya Umeme Vijijini katika Kikao kilichofanyika leo Mjini Iringa.
Mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Mhe. Livingstone Lusinde akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari idodi iliyopo Iringa Vijijini pale kamati hiyo ilipoenda kukagua Miradi ya Umeme Vijijini kwa kuwa Shule hiyo ni moja ya wanufaika wa miradi hiyo.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Post a Comment

0 Comments