Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia
wananchi wa Njombe wakati alipokagua ujenzi wa hospitali ya rufaa ya
mkoa wa Njombe katika eneo la Wikichi katika Wilaya ya Njombe Januari
21, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na walimu wa shule ya
sekondari ya Iwawa iliyopo Makete baada ya kufungua madarasa ya shule
hiyo Januari 21, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua madarasa ya shule ya Sekondari ya Iwawa iliyopo Makete Januari 21, 2017..
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya
Sekondari ya Iwawa iliyopo Makete kabla ya kufungua madarasa ya shule
hiyo Januari 20,1, 2017.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 Comments