Atangaza kikosi cha watu nane kutoka nje ya halmashauri
ya Jiji kinajumuisha watalaam ardhi ofisi YA Mkuu wa Mkoa, halmashauri Mbeya
Dc , wanasheria na vyombo vya Dola
Kikosi kazi kitaanza
kwa AWAMU YA kwanza kitashughulikia MIGOGORO ya ardhi Kata ya ITEZI na
MWAKIBETE
MIGOGORO mingi ktk jiji la Mbeya ni kutokana na kutolipa
fidia, umilikishaji watu zaidi YA mmoja ktk kiwanja kimoja na Baadhi YA
wawekezaji kutoendeleza maeneo yao kwa muda mrefu
AMALIZA mvutano wa umiliki wa soko kati YA Ccm na serikali
YA mtaa na kata. Kwa mujibu wa hati za kiwanja Ccm ni wamiliki halali kwa kuwa
na hati Bambi 81 BB Mkuu wa Mkoa wa
Mbeya leo amefanya mkutano kata YA ITEZI kwa kupokea kero mbalimbali kutoka kwa
wananchi kuhusiana na Mgogoro wa wananchi na wamiliki wa ardhi maeneo YA
viwanda aidha ametangaza kikosi kazi kushughulikia migogoro vya
ardhi jiji la Mbeya na awamu YA kwanza kikosi kazi kitafanya kazi kata za Iteze
na MWAKIBETE hivyo amewaomba wananchi kutoa ushirikiano amekipa kikosi kazi muda wa siku 14 kushughulikia migogoro kata hizo mbili
na watoe ushauri wa namba YA kumaliza MIGOGORO iliopo





0 Comments