Subscribe Us

header ads

RC MAKALA ALIAGIZA JIJI LA MBEYA KUKARABATI BARABARA ZA KATA YA RUANDA NA KULIWEKA JIJI LA MBEYA SAFI

 Wananchi wapongeza Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amosi Makalla kwa uamuzi wa kufika  eneo Lao kwani ni kero ya miaka 7
Vifusi  vyaanza kusombwa na ujenzi wa karavati kuanza keshokutwa lengo ni kuwanusuru wananchi na Maji  ya mvua kuingia majumbani na pia kuwezesha bajaji, bodaboda na magari kutoa huduma 

 Akagua Barabara zinazojengwa na kuutaka uongozi wa jiji  kutokupokea Barabara zitakazojengwa chini ya kiwango
Atambelea maeneo Muhimu  ya jiji kujionea utekelezaji wa maagizo yake ikiwemo kutofanya biashara na shughuli za kijamii kwenye HIFADHI YA Barabara, kuweka jiji safi ,  kutengeneza bustani za kupendezesha jijij,na kupunguza msongamano wa magari
Akabidhi vituo viwili  vya kuhamishika kwa ajili ya askari wa usalama barabarani
AWASHUKURU wananchi kwa kumuunga Mkono katika MIKAKATI YA kuliweka jiji la Mbeya safi

Post a Comment

0 Comments