Mkuu
wa mkoa wa Mbeya, Amos Makala akisoma
hotuba yake wakati akizindua dawati la mkoa la uwezeshaji wanawake
kiuchumi.
Awapongeza wanawake kwa kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi.
Asema asilimia 69 ya wanawake wanashiriki katika sekta ya
kilimo.
Akemea mfumo Dume wa kutoawapa fursa wanawake kumiliki
Ardhi.
Asema baadhi ya makabila na baadhi ya wanaume wanawadharau wanawake
Asema baadhi ya makabila na baadhi ya wanaume wanawadharau wanawake
Asema kuna wanaume hawfanyi kazi za shamba wanawachia
WANAWAKE na ikifika mavuno wanauliza mapato
Aagiza wakurugenzi wa halmashauri kutenga maeneo ya viwanda
vidogo vidogo na kutenga ya asilimia 10
ya Mapato ya ndani kwa ajili ya mikopo nafuu vikundi vya wanawake na vijana



0 Comments