Random Posts

MKUU WA MKOA WA MBEYA AMOSI MAKALA AZINDUA DAWATI LA MKOA LA UWEZESHAJI WANAWAKE KIUCHUMI

 Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Amos Makala akisoma hotuba yake wakati akizindua dawati la mkoa la uwezeshaji wanawake kiuchumi.
Awapongeza wanawake kwa kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi.

Asema asilimia 69 ya wanawake wanashiriki katika sekta ya kilimo.

Akemea mfumo Dume wa kutoawapa fursa wanawake kumiliki Ardhi.

Asema baadhi ya makabila na baadhi ya wanaume wanawadharau wanawake
Asema kuna wanaume hawfanyi kazi za shamba wanawachia WANAWAKE na ikifika mavuno wanauliza mapato

Aagiza wakurugenzi wa halmashauri kutenga maeneo ya viwanda vidogo vidogo na kutenga  ya asilimia 10 ya Mapato ya ndani kwa ajili ya mikopo nafuu vikundi vya wanawake na vijana

Post a Comment

0 Comments