Random Posts

RAIS DKT MAGUFULI AANDA HAFLA YA MWAKA MPYA YA SHERRY PARTY KWA MABALOZI IKULU, DAR ES SALAAM

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia katika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya ya Sherry Party aliyowaandalia mabalozi na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa nchini katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam Ijumaa Februari 10, 2017
 Sehemu ya waalikwa wakimsikiliza  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia katika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya ya Sherry Party aliyowaandalia mabalozi na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa nchini katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam Ijumaa Februari 10, 2017

   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia katika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya ya Sherry Party aliyowaandalia mabalozi na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa nchini katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam Ijumaa Februari 10, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia katika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya ya Sherry Party aliyowaandalia mabalozi na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa nchini katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam Ijumaa Februari 10, 2017
   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja na mabalozi wanaowakilisha nchi mbalimbali katika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya ya Sherry Party aliyowaandalia mabalozi na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa nchini katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam Ijumaa Februari 10, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja na wawakilishi wa taasisi mbalimbali za kimataifa wanaowakilisha nchini  katika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya ya Sherry Party aliyowaandalia mabalozi na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa nchini katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam Ijumaa Februari 10, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja na maafisa wa wizara ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa walioandaa hafla ya kuukaribisha mwaka mpya ya Sherry Party aliyowaandalia mabalozi na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa nchini katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam Ijumaa Februari 10, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na baadhiya mabalozi wanaowakilisha nchi mbalimbali nchini katika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya ya Sherry Party aliyowaandalia mabalozi na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa nchini katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam Ijumaa Februari 10, 2017. 
PICHA NA IKULU

Post a Comment

0 Comments