Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akifungua mafunzo ya siku tatu ya kanuni na sheria za manunuzi kwa wafanyakazi wa Taasisi hiyo yanayotolewa na wataalamu kutoka Bodi ya Ununuzi na Ugavi (PSPTB). Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo na kuzifahamu sheria za manunuzi .
Washiriki
wa mafunzo ya siku tatu ya kanuni na sheria
za manunuzi kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakifuatilia mafuzo
yaliyokuwa yanatolewa na wataalamu kutoka Bodi ya Usimamizi na Ugavi (PSPTB).
Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea
uwezo na kuzifahamu sheria za manunuzi .
Picha na Anna Nkinda -
JKCI




0 Comments