TBS KUDHIBITI BIDHAA HAFIFU - MTAZAMO MEDIA

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Friday, 3 February 2017

demo-image

TBS KUDHIBITI BIDHAA HAFIFU

Responsive Ads Here
1
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu  Shirika la Viwango Tanzania (TBS)  Prof. Egid Mubofu akizungumza na waandishi wa habari hawapo (pichani) kuhusu mafanikio ya Shirika hilo tangu Serikali ya awamu ya Tano iingie madarakani,Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Shirika hilo Bi Roida Andusamile na kushoto ni Afisa Uhusiano Msaidizi Bi Neema Mtemvu.
2
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu  Shirika la Viwango Tanzania (TBS)  Prof. Egid Mubofu akizungumza na waandishi wa habari hawapo (pichani) kuhusu mkakati wa shirika hilo kudhibiti uingizwaji na uzalishaji wa bidhaa hafifu hapa nchini.kushoto  Afisa Uhusiano wa Shirika hilo Bi Roida Andusamile.
3
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifuatilia Mkutano wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) uliofanyika leo Jijini Dar es salaam ukilenga kueleza mikakati ya shirika hilo katika kutoa huduma bora kwa wananchi na kuchochea ujenzi wa uchumi wa Viwanda.


(Picha na Frank Mvungi-Maelezo).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *