Random Posts

KAZI YA UHAKIKI WA TAARIFA ZA WATUMISHI

 Mtumishi kutoka Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Deograsius Michael, akiwa na Kitambulisho cha Taifa ili kuhakiki taarifa zake za kiutumishi. 
 Mkurugenzi wa Idara ya TEHAMA Serikalini, Bw. Priscus Kiwango akiwa na Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu Serikalini, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Ibrahim Mahumi wakihakiki taarifa za Watumishi wa Umma zilizowasilishwa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma wa Umma na Utawala Bora.
Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu Serikalini, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Ibrahim Mahumi akiangalia taarifa za Watumishi wa Umma zilizowasilishwa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma wa Umma na Utawala Bora.

Post a Comment

0 Comments