Wanafunzi kutoka shule za msingi
na sekondari wakiwa katika matembezi wakati wa mbio za Ndovu Marathon zilizofanyika jinini Dar es Salaa jumamosi machi 4, 2017 katika Viwanja vya Posta Kijitonyama lengo la
mbio hizo ni kuongeza ufahamu na kuielimisha jamii kuhusu tatizo
sugu la ujangili linaloikabili Tanzania na kuongeza mwamko kwa taasisi za kiraia
katika kulinda tembo na wanyama wengine.
Ambapo mgeni rasmi wa mbio hizo alikuwa Kaimu
Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Kupambana na Ujangili wa Idara ya
Wanyamapori, Bw. Robert Mande.
Mgeni rasmi Kaimu Mkurugenzi
Msaidizi wa Kitengo cha Kupambana na Ujangili wa Idara ya Wanyamapori, Bw.
Robert Mande (katikati) akiwa na Mkurugenzi Mtendaji ambaye pia ni
Balozi wa Kupinga mauaji ya Tembo nchini Tanzania , Amon Mkoga (kushoto)
wakiangalia mashindano ya mbio za mbioViwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar es Salaam. za Ndovu Marathon katika
Mgeni rasmi Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Kupambana na Ujangili wa Idara ya Wanyamapori, Bw. Robert Mande (kusho) akiwa pamoja na viongozi wengine wakiwa wameshika bango linaloelezea siku ya ya Siku ya Wanyamapori Duniani ni-Tusikilize Sauti za Vijana kwa kuwa mustakabali wa baadae wa Uhifadhi wa wanyamapori ,mimea na mazingira upo mikoni mwao.
![]() |
![]() |
Wanafunzi wakishiriki mbio za Ndovu Marathon.
Mkurugenzi
Mtendaji ambaye pia ni Balozi wa Kupinga mauaji ya Tembo
nchini Tanzania , Amon Mkoga (kushoto) akizungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni
rasmi Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Kupambana na Ujangili wa Idara
ya Wanyamapori, Bw. Robert Mande kuzungumza na wageni mbalimbali walioshiriki
katika mbio hizo (katikati) Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Kupambana
na Ujangili wa Idara ya Wanyamapori, Bw. Robert Mande.
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa
Kitengo cha Kupambana na Ujangili wa Idara ya Wanyamapori, Bw. Robert Mande
akizungumza wakati wa mbio za Ndovu Marathon zilizofanyika jinini Dar es Salaa jumamosi machi
4, 2017 katika Viwanja vya Posta Kijitonyama
lengo la mbio hizo ni kuongeza ufahamu na kuielimisha jamii kuhusu tatizo sugu la ujangili linaloikabili
Tanzania na kuongeza mwamko kwa taasisi za kiraia katika kulinda tembo na
wanyama wengine.
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Kupambana na Ujangili wa Idara ya Wanyamapori, Bw. Robert Mande akiendelea kusisitiza.
Meneja Masoko wa Red Bull Bw.Hanson Heddi(kulia) akisoma majina ya
washindi walioshiriki mbio za Ndovu Marathon zilizofanyika jinini Dar es Salaa
jumamosi machi 4, 2017 katika Viwanja vya
Posta Kijitonyama mbio hizo lienda sambamba kuanzimisha siku ya Wanyamapori Duniani.












0 Comments