Random Posts

MKUU WA MKOA ASITISHA UCHIMBAJI MGODI UNAOGOMBEWA KATI YA MWEKEZAJI NA WANANCHI ITUMBI- Chunya

 Hali ya usalama mgodini si Nzuri watu 4 wamepoteza maisha wiki moja iliopita
Aagiza Kamati ya Ulinzi wilaya, kamishina wa madini, mwekezaji, uongozi wa kata, kitongoji na wawakilishi 5 wa wananchi kukaa kwa pamoja kupata muafaka
 Amwagiza kamishina wa madini kufuta leseni za wataoshindwa kuendeleza na maeneo hayo wapewe wachimbaji wadogo
ATAKA kamishina wa madini kukagua migodi na kuangalia usalama wa migodi
Atembelea mgodi wa sunshine wawekezaji wahahidi kujenga zahanati Kijiji cha ITUMBI







Post a Comment

0 Comments