Naibu Waziri
wa Tamisemi, Suleiman
Jafo (mwenye
tai) akiingia kwenye kikao kwaajili ya kuzungumza na wadau wa maendeleo na
watumishi wa halmashauri ya chalinze, kulia kwake ni Mbunge wa Jimbo
la Chalinze,
Ridhiwani Kikwete.
Mbunge wa Jimbo
la Chalinze,
Ridhiwani Kikwete akielezea machache kabla ya kumakaribisha mgeni rasmi Naibu Waziri
wa Tamisemi, Suleiman
Jafo kuzungumza
na wadau wa maendeleo na watumishi wa halmashauri ya chalinze.
Mbunge wa Jimbo
la Chalinze,
Ridhiwani Kikwete akimshukuru Naibu Waziri
wa Tamisemi, Suleiman
Jafo kwakuja
jimboni kwake.
Naibu Waziri
wa Tamisemi, Suleiman
Jafo alipata
nafasi pia ya kutembelea Shule ya Sekondari ya Mboga ambayo iko katika Ujenzi pia alitazama ujenzi
wa Maabara tatu za sayansi zinazojengwa , ujenzi wa madarasa mawili, jiko la
kisasa na bwalo na hostel ambazo zitachukua wanafunzi 796.
Mbunge wa
Jimbo la Chalinze,
Ridhiwani Kikwete akitoa maelezo kwa Naibu Waziri
wa Tamisemi, Suleiman
Jafo kuhusiana
na ujenzi wa hostel unavyoendelea.
Dada
mkuu wa shule ya Mboga sekondari (kulia) akimshukuru Mbunge wa
Jimbo la Chalinze,
Ridhiwani Kikwete kwa msaada wa kuwatafutia
Hostel na kukamilisha Maabara na kumuahidi watasoma kwa bidii ili asife moyo
kuendelea kusaidia katika elimu.
Naibu Waziri
wa Tamisemi, Suleiman
Jafo akiwa na
weji wake (kushoto kwake) Mkuu wa Wilaya, Alhaj Majid Mwanga, Mkurugenzi wa
Halmashauri Ndg Zikatimu , na Mbunge wa
Jimbo la Chalinze,
Ridhiwani Kikwete wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kukagua shule ya
sekondari ya Mboga.
Naibu Waziri
wa Tamisemi, Suleiman
Jafo, Diwani wa
Kata ya Msoga na Mbunge
wa
Jimbo la Chalinze,
Ridhiwani Kikwete wakifurahia jambo.








0 Comments