Mkurugenzi wa Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi, Ofisi ya
Rais-Utumishi, Bw. Mick Kiliba (wa kwanza kulia) akizungumza mapema leo katika kipindi
cha JAMBO kinachotangazwa na TBC One kuhusu Mfumo wa Wazi wa Mapitio na
Tathmini ya Utendaji Kazi (OPRAS). Wengine katika picha ni Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Mifumo na Viwango
vya Utendaji Kazi kutoka Ofisi ya Rais - Utumishi, Bi. Veila Shoo (katikati) na
Mwongozaji wa kipindi hicho, Bw. Rashid Salim.
Mtangazaji wa Kipindi cha “JAMBO” kinachotangazwa
na TBC One, Bw. Rashid Salim (kushoto) katika mahojiano na Mkurugenzi wa Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa
Kazi wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Bw. Mick Kiliba, pamoja na Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Mifumo na Viwango vya Utendaji Kazi kutoka
Ofisi ya Rais - Utumishi, Bi. Veila Shoo. Kipindi cha
Jambo maudhui yake yalikua kutoa elimu kuhusu umuhimu wa Mfumo wa Wazi wa Mapitio na Tathmini ya Utendaji Kazi (OPRAS)
kwa Waajiri na Watumishi wa Umma nchini.
Mkurugenzi wa Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi wa Ofisi ya
Rais-Utumishi, Bw. Mick Kiliba (kulia) akifafanua jambo kuhusu umuhimu wa Mfumo wa Wazi wa Mapitio na Tathmini ya
Utendaji Kazi (OPRAS) kwa Waajiri na Watumishi wa Umma mapema leo katika kipindi
cha JAMBO kinachotangazwa na TBC Taifa. Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Mifumo na Viwango
vya Utendaji Kazi kutoka Ofisi ya Rais - Utumishi, Bi. Veila Shoo. Wengine ni
waongozaji wa kipindi hicho, Bi.
Anna Mwasyoke na Bw. Paul Alphonce.
Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Mifumo na Viwango vya Utendaji Kazi kutoka
Ofisi ya Rais - Utumishi, Bi. Veila Shoo (kushoto) akizungumza mapema leo katika kipindi cha JAMBO kinachotangazwa
na TBC Taifa kuhusu umuhimu
wa Mfumo wa Wazi wa Mapitio na Tathmini ya Utendaji Kazi (OPRAS) kwa
Waajiri na Watumishi wa Umma nchini. Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa
Kazi wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Bw. Mick Kiliba. Wengine ni waongozaji wa kipindi hicho kushoto ni Bi. Anna Mwasyoke na Bw. Paul Alphonce.




0 Comments