Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akikata utepe
kuashiria
uzinduzi wa Mradi wa Gari Nane(8) ya CCM aina ya Dyna ikiwa ni ahadi ya
Mbunge wa CCM wa Jimbo la Mfenesini Col.Mstaafu Masoud Khamis (wa pili
kulia) katika viwanja vya Z. Ocean Hotel iliyopo kihinani Wilaya ya
Magharibi Jimbo la Mfenesini leo.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed
Shein akipokea kadi za Gari Nane (8) aina ya Dayna ambazo Rais
amezindua Mradi huo wa CCM zitakazotumika katika Matawi ya Chama Jimbo
la Mfenesini,Gari hizo ini ahadi aliyoitoa Mbunge
Mhe.Col.Mstaafu Masoud Khamis katika ukumbi wa Hoteli ya Z. Ocean
iliyopo
kihinani Jimbo la Mfenesini leo katika sherehe Jimboni humo
Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa
akitoa hutuba yake wakati sherehe ya Uzinduzi wa Mradi wa Gari 8 za
Chama cha Mapinduzi CCM zilizotolewa na Mbunge wa Jimbo la Mfenesini Col.Mstaafu Maoud Khamis ikiwa ni ahadi yake aliyoitoa
kwa jimbo,hafla hiyo ilifanyika leo katika ukumbi wa Z.Ocean Kihinani Wialaya nya Magharibi Unguja
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar
Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake wakati sherehe
ya Uzinduzi wa Mradi wa Gari 8 za Chama cha Mapinduzi CCM zilizotolewa
na Mbunge wa Jimbo la Mfenesini
Col.Mstaafu Maoud Khamis ikiwa ni ahadi yake aliyoitoa kwa jimbo,hafla
hiyo ilifanyika leo katika ukumbi wa Z.Ocean Kihinani Wialaya nya
Magharibi Unguja
Baadhi
ya Viongozi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi Jimbo la Mfenesini
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia
Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa
akizungumza katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa Gari Nane (8)za CCM
zilizokabidhiwa leo kwa Rais ikiwa ni ahadi ya Mbunge wa jimbo hilo
Col.Mstaafu Masoud Khamis,ikiwa ni ahadi ya kwa
Wananchi hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Z. Ocean Hoteli iliyopo kihinani Jimbo la Mfenesini.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed
Shein akiwapungia mkono wanaCCM wa Jimbo la Mfenesini wakati alipowasili katika viwanja vya Z. Ocean Hoteli iliyopo Kihinani Jimbo la Mfenesini Wilaya ya Magharibi leo katika sherehe za Uzinduzi
wza Mradi wa Gari nane(8) za CCM zilizotolewa na Mbunge wa jimbo hilo Col.Mstaafu Masoud Khamis,ikiwa ni ahadi ya kwa Wananchi.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mbunge wa
Jimbo
la Mfenesini Mhe.Col.Mstaafu Masoud Khamis alipowasili katika viwanja
vya Z. Ocean
Hoteli iliyopo
Kihinani Jimbo la Mfenesini leo katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa
Gari nane (8) za Chama cha Mapinduzi CCM ikiwa ni ahadi ya Mbunge wa
jimbo hilo
Gari nane (8) aina
ya Dyna zilizonunuliwa na Mbunge wa Jimbo la Mfenesini
Mhe.Col.Mstaafu Masoud Khamis ambazo leo amezikabidhi kwa Chama cha
Mapinduzi CCM zitakazotumika na kutoa huduma katika Matawi ya Chama cha
CCM katika jimbo hilo,ambazo zimegharimu jumla ya shilingi
za kitanzania Millioni Mia moja na Tisiini na Mbili.
[Picha na Ikulu]
23/o4/2017.








0 Comments