Mgeni rasmin Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud
akifunga warsha ya siku tano ya kutathmini kanuni za Afya kimataifa Zanzibar
iliyofanyika Hoteli ya Ocen View Kilimani Mjini Zanzibar.
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Zanzibar Dk. Ghirmany Andermichal akitoa
tarifa ya shirika hilo katika warsha ya siku tano ya kutathmini kanuni za Afya
kimataifa iliyofanyika Hoteli ya Ocen View Kilimani Mjini Zanzibar.
Kiongozi wa warsha ya kutathmini kanuni za Afya kimataifa kutoka (WHO) AFRO Dk.
Ambrose Jalisuna akitoa muhtasari wa taarifa ya awali ya tathmini waliyoifanya Zanzibar.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi. Asha Abdalla akimkaribisha Waziri wa
Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud kufunga warsha ya kutathmini
kanuni za afya kimataifa katika ukumbi wa Hoteli ya Ocen View, (kushoto)
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Zanzibar Dk. Ghirmany Andermichal.
Baadhi ya washiriki wa warsha ya siku tano ya kutathmini kanuni za Afya
kimataifa wakifuatilia ufungaji wa warsha hiyo.
Picha na
Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.





0 Comments