Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usafiri wa Anga
Tanzania(TCAA), Hamza S. Johari, Akitoa Mada Kuhusu Wajibu wa Mashirika ya
Ndege kwa Abiria Kwa Washiriki wa Semina ya Siku Tatu Kuhusu Namna ya
Kushughulikia Malalamiko ya Watumiaji wa Usafiri wa Anga Nchini Iliyofanyika
Morogoro, Kuanzia Julai 20, 2017
Mkurugenzi
Mkuu Mamlak aya Usafiri wa Anga Tanzania, Hamza S. Johari(Kulia) na Kaimu
Mkurugenzi Idara ya Kudhibiti Masuala ya Ki- uchumi , Dan Malanga Wakihudhuria
Semina Kuhusu Namna ya Kushughulikia
Malalamiko ya Watumiaji wa Usafiri wa Anga Iliyofanyika Morogoro Mwezi July
2017.
Washiriki
wa Semina Kuhusu Namna ya Kushughulikia
Malalamiko ya Watumiaji wa Usafiri wa Anga Wakifuatilia Mada ya Mkurugenzi Mkuu
wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania, Hamza S. Johari.
Katibu
Mtendaji wa Baraza la Watumiaji wa Usafiri wa Anga(TCAA-CCC) Elias Mwashiuya,
Akiwasilisha Mada kwa Washiriki wa Semina ya Siku Tatu Kuhusu Namna ya
Kushughulikia Malalamiko ya Watumiaji wa Usafiri wa Anga Iliyofanyika Morogoro
Tangu Julai 20, 2017.





0 Comments