Afisa muongoza ndege
Mwanadamizi(kulia) Godlove Longole na Afisa Habari Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri
wa Anga Tanzania(TCAA), Bestina Magutu wakitoa elimu kwa wakinamama
waliotembelea Banda la TCAA katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
Afisa Muongoza Ndege Mwanadamizi(kulia) Godlove Longole
na Afisa Habari Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), Bestina
Magutu Wakitoa Elimu kwa Watoto Waliotembelea Banda la TCAA Katika Viwanja vya
Ngongo Mkoani Lindi.
Afisa Muongoza Ndege Mwanadamizi, Godlove Longole Akitoa Elimu kwa Wanafunzi Waliotembelea Banda la Mamlaka ya Usafiri wa
Anga Tanzania(TCAA) Katika Viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi.
Afisa Habari Msaidizi
wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA),Ally Changwila akitoa elimu kwa Mkurugenzi wa Utafiti na Matumizi
–Taarifa za Hali ya Hewa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini(TMA), Dkt Ladislaus
Chang’a aliyetembelea Banda la TCAA
katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
Timu ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Katika
Maonyesho ya Nane nane 2017 katika viwanja vya Ngongo Lindi.





0 Comments